• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha
      • Afya
      • Ardhi na Mali asili
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
    • Vitengo
      • Tehama
      • Sheria
      • Ukaguzi
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Viwanda
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria ndogo
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

Afya



Ni idara inayohudumia afya za wakazi wa Halmashauri hii wapatao 344,125 kwa Mujibu wa sensa ya Watu na makazi ya mwaka 2012.

Ni idara yenye hospitali moja (1) ya wilaya, vituo vya afya vitatu (3) na zahanati zipatazo 42. Jumla ya vituo vyote vya kutolea huduma ni 46.

Zifuatazo ni shughuli za idara kwa kifupi:

  • Huduma za wagonjwa wa nje yaani O.P.D ambazo zinafanyika katika vituo vyote vya kutolea huduma (hospitali ya wilaya, vituo vya afya na zahanati).
  • Huduma za wagonjwa wa ndani (in patient):

Hii inafanyika kwa wagojwa wanaolazwa hususani hospitali ya wilaya na pia vituo vya afya.

  • Utoaji chanjo.
  • Usambazaji dawa katika ngazi zote za kutoa huduma za afya.

Kufanya usimamizi shirikishi.

  • Utoaji wa elimu ya afya na ushauri tiba wa kitaalamu.

Kupitia utoaji wa huduma za afya idara imefanikiwa kupungua vifo vya watoto chini ya miaka 5 kutoka 2/1000 hadi 1/1000.

  • Upatikanaji wa dawa katika vituo vyote vya kutolea huduma za afya (80%).
  • Pia tumefanikiwa katika zoezi la utoaji chanjo (96%).

Mipango ya baadaye ni pamoja na:

  • Kuendelea kutoa huduma kwa kuzingatia ubora.
  • Pia kuwa na private ward katika hospitali ya wilaya.
  • Kutumia jengo la kisasa la mapokezi na upasuaj yaliyopo hospitali ya wilaya kuboresha utoaji wa huduma.


Mikakati ya kuboresha hali ya lishe katika Wilaya ya Maswa kwa Mwaka wa Fedha 2019/2020 hii hapa MIKAKATI YA KUBORESHA SHUGHULI ZA LISHE MASWA.pdf


Matangazo

  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021 WILAYA YA MASWA December 18, 2020
  • Fomu za kujiunga na Shule za Sekondari ( Joining Instructions ) Wilayani Maswa December 15, 2020
  • Tangazo la nafasi za kazi August 03, 2020
  • Tangazo la Kazi August 26, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Ziara ya Wakuu wa Idara kukagua miradi ya maendeleo

    January 14, 2021
  • Kikao cha RAS Simiyu na Watumishi Maswa

    January 06, 2021
  • Waziri Jafo akagua ujenzi wa Viwanda Maswa

    January 03, 2021
  • Waheshimiwa Madiwani waapishwa Maswa

    December 07, 2020
  • Tazama zote

Video

Fursa za uwekezaji Mkoani Simiyu
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Taarifa ya Mapato na matumizi
  • Mfumo wa FFARS
  • Mfumo wa IMIS
  • Mfumo wa PlanRep
  • Government Web Framework
  • Mfumo wa PREM
  • Maswa DC Mail Domain
  • Hotuba ya Mh. Waziri Mkuu PLANREP/FFARS
  • Mfumo wa MVC-MIS

Viunganishi linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Simiyu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • Sekretariet ya Ajira
  • Ikulu
  • Baraza la Mitihani Tanzani
  • Wizara ya Elimu Tanzania
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Mwonekano wa Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

    Sanduku la Posta: 170, MASWA

    simu ya Mkononi: +255 282 750 271

    Simu: +255 282 750 271

    Barua Pepe: ded@maswadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2020 Maswa District Council. All rights reserved.