• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha
      • Afya
      • Ardhi na Mali asili
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
    • Vitengo
      • Tehama
      • Sheria
      • Ukaguzi
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Viwanda
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria ndogo
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

Kamati ya Lishe Wilaya yatembelea Kiwanda cha Unga Lishe

Posted on: July 16th, 2020

Wajumbe wa kamati ya Lishe Wilaya ya Maswa wamefanya ziara katika kiwanda cha kusindika ungalishe kilichoko katika kijiji cha Njiapanda Kata ya Isanga Wilayani Maswa.

Katika ziara hiyo hapo kiwandani wamepata maelezo toka kwa mtaalamu wa tekinolojia ya chakula ya kuwa kabla ya kupata unga wa viazi lishe kuna hatua mbalimbali zinazopitiwa;  ambazo ni 

    (i) Mapokezi ya viazi kutoka kwa Wakulima

    (ii) Uchambuzi wa viazi vinavyofaa (Sorting)  

    (iii) Kuosha viazi (Cleaning) 

    (iv) Kutengeneza michembe (Slicing)

    (v) Kukausha michembe (Drying)

    (iv) Kusindika au kusaga unga (Processing) 

   (vii) Kufungasha unga kwenye mifuko (Packaging)

Aina za Unga unaozalishwa katika kiwanda hiki

  • Unga wa watoto wenye umri wa miezi 6 hadi 24 (Viazi, mahindi, ufuta na mbegu za maboga)
  • Unga wa uji wa familia (Viazi, Mahindi, Ufuta, ulezi na mbegu za maboga )
  • Unga wa viazi lishe pekee
  • Unga wa kuoka ( Baking flour) unaotumika kutengeneza Andazi, Mikate na Chapati

Wajumbe wa kamati ya lishe kwa kushirikiana na Idara ya Kilimo wameombwa kuhamasisha kilimo cha mazao ya ufuta, ulezi na maboga ambayo kuanzia mwezi wa Oktoba malighafi huwa ya shida kupatikana kwa sababu ni wakulima wachache wanaolima mazao hayo.

Matangazo

  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021 WILAYA YA MASWA December 18, 2020
  • Fomu za kujiunga na Shule za Sekondari ( Joining Instructions ) Wilayani Maswa December 15, 2020
  • Tangazo la nafasi za kazi August 03, 2020
  • Tangazo la Kazi August 26, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Ziara ya Wakuu wa Idara kukagua miradi ya maendeleo

    January 14, 2021
  • Kikao cha RAS Simiyu na Watumishi Maswa

    January 06, 2021
  • Waziri Jafo akagua ujenzi wa Viwanda Maswa

    January 03, 2021
  • Waheshimiwa Madiwani waapishwa Maswa

    December 07, 2020
  • Tazama zote

Video

Fursa za uwekezaji Mkoani Simiyu
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Taarifa ya Mapato na matumizi
  • Mfumo wa FFARS
  • Mfumo wa IMIS
  • Mfumo wa PlanRep
  • Government Web Framework
  • Mfumo wa PREM
  • Maswa DC Mail Domain
  • Hotuba ya Mh. Waziri Mkuu PLANREP/FFARS
  • Mfumo wa MVC-MIS

Viunganishi linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Simiyu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • Sekretariet ya Ajira
  • Ikulu
  • Baraza la Mitihani Tanzani
  • Wizara ya Elimu Tanzania
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Mwonekano wa Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

    Sanduku la Posta: 170, MASWA

    simu ya Mkononi: +255 282 750 271

    Simu: +255 282 750 271

    Barua Pepe: ded@maswadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2020 Maswa District Council. All rights reserved.