• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Mrejesho |
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha
      • Afya
      • Ardhi na Mali asili
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
    • Vitengo
      • Tehama
      • Sheria
      • Ukaguzi
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Viwanda
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria ndogo
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

Kamati yaridhishwa na miradi ya maendeleo inayotekelezwa na Wilaya ya Maswa

Posted on: April 21st, 2022

Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira ya Halmashauri ya Wilaya ya Maswa imeipongeza Halmashauri ya Maswa kwa usimamizi mzuri wa miradi, baada ya kamati hiyo kutembelea na kufanya ukaguzi wa miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa ndani ya Halmashauri.

Kamati imetembelea miradi minne ya maendeleo inayoendelea kutekelezwa ambayo  ni Ujenzi wa Kiwanda cha Chaki kilichopo Ng’hami Kata ya Nyalikungu, Mradi wa Josho katika Kijiji Cha Mwanhegele  Kata ya Nyabubinza, Ujenzi wa Mnada wa Malampaka katika Kijiji cha Gulung’washi Kata ya Malampaka na Mradi wa Josho katika Kijiji cha Jija Kata ya Jija.

Ziara hii ya wajumbe imefanyika ikiwa ni ukaguzi wa utekelezaji wa majukumu ya Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira kuona namna ambavyo miradi inatekelezwa.

Kwa upande wao baadhi ya wajumbe wa Kamati ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira wameipongeza Halmashauri kwa kusimamia vizuri miradi hiyo na kuwaomba waendelee kuitunza vizuri miundombinu hiyo kwa kuwa ni chachu ya maendeleo kwa wananchi na Halmashauri.

Aidha wataalamu wameihakikishia Kamati kuwa miradi yote inayoendelea kujengwa itakamilika kwa wakati tayari fedha na vifaa mbalimbali vimeletwa, lengo likiwa ni kumaliza miradi kwa wakati na ubora unaotakiwa.

Kamati hiyo ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira imepokea baadhi ya changamoto zilizojitokeza katika baadhi ya miradi na kuahidi kuitafutia suluhisho,  ili miradi iliyoanzishwa katika maeneo hayo isikwamishe maendeleo ya eneo husika kupata mapato pamoja na Halmashauri.

Matangazo

  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO May 30, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI May 20, 2022
  • TANZGAZO LA NAFASI YA KAZI May 26, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI May 27, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Mkuu wa Mkoa aipongeza Maswa kwa kupata hati safi

    June 27, 2022
  • Mkuu wa Mkoa afanya ziara katika kiwanda Cha pamba wilayani Maswa

    June 09, 2022
  • Madiwani wa Manispaa ya Moshi wanufaika na mafunzo Maswa

    May 26, 2022
  • Mratibu wa Sensa Wilaya atoa mafunzo kwa Kamati za sensa

    May 16, 2022
  • Tazama zote

Video

Fursa za uwekezaji Mkoani Simiyu
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Taarifa ya Mapato na matumizi
  • Mfumo wa FFARS
  • Mfumo wa IMIS
  • Mfumo wa PlanRep
  • Government Web Framework
  • Mfumo wa PREM
  • Maswa DC Mail Domain
  • Hotuba ya Mh. Waziri Mkuu PLANREP/FFARS
  • Mfumo wa MVC-MIS

Viunganishi linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Simiyu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • Sekretariet ya Ajira
  • Ikulu
  • Baraza la Mitihani Tanzani
  • Wizara ya Elimu Tanzania
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Mwonekano wa Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

    Sanduku la Posta: 170, MASWA

    simu ya Mkononi: +255 282 750 271

    Simu: +255 282 750 271

    Barua Pepe: ded@maswadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2022 Maswa District Council. All rights reserved.